NYWELE ZA KISASA ZINAVYOWAVUTIA WANAWAKE NA WASICHANA KENYA

Share it:


Mtindo wa kutengeneza nywele za asili kwa kuweka matuta umejizolea umaarufu na kuvutia wanawake wengi nchini Kenya ambao huwa wanaamini kwamba wanaonekana ni warembo zaidi wawapo katika mtindo huo.

Hata hivyo, huwa wanahitaji fedha zaidi kujipatia nywele hizo pamoja na bidhaa za kutunza nywele za kisasa ambazo mara nyingi huagizwa kutoka nje ya nchi.

Umaarufu huu umesababisha kuibuka kwa wajasiriamali wanaoagiza bidhaa hizi kutoka nje, na wengine kuviundia nchini Kenya.
Share it:

worldheadline

EAST AFRICA NEWS

Post A Comment:

Also Read

😂 Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa✔

SIFA MBAYA…Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jamaa akaweka loud speaker ili

Anonymous