MAKAMANDA WA JESHI WAJIUZULU SUDAN KUSINI

Share it:


Maafisa watatu wakuu wa kijeshi ndani ya serikali ya Sudan Kusini, wamejiuzulu.
Makamanda hao wamejiondoa serikalini wakimlaumu Rais Salva Kiir kwa kuhusioka katika uhalifu wa kivita na mauwaji yanayolenga kabila fulani.


Brigedia Henry Oyay Nyago, anamshutumu Rais, ambaye anatoka katika kabila la Dinka, kwa kuamuru kuwawa kwa watu wasiotoka katika kabila hilo la Dinka.

Kanali Khalid Ono Loki, pia anamlaumu kiongozi mkuu wa jeshi kwa mauwaji ya kimbari, kukamatwa na kuwazuilia watu kiholela.
Share it:

worldheadline

URBAN NEWS

Post A Comment:

Also Read

KAULI YA KWANZA YA SERIKALI KUHUSU WATANZANIA WALIOFUKUZWA MSUMBIJI.

Kumekuwepo na taarifa mpaka za video Watanzania mbalimbali wakiongea baada ya kuondolewa kwa lazima nchini Msum

Unknown